Rufo wa Roma

From Wikipedia, the free encyclopedia

Rufo wa Roma
Remove ads

Rufo wa Roma (alifariki Roma, Italia, karne ya 1) alikuwa kati ya Wakristo wa kwanza wa jiji hilo.

Thumb
Mt. Rufo.

Mtume Paulo katika Waraka kwa Warumi anamuita mteule wa Bwana akimsalimu pamoja na mama yake (Rom 16:13). Inawezekana alikuwa mtoto wa Simoni wa Kurene (Mk 15:21) [1][2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali ya Ukristo kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Novemba[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads