Simoni wa Kurene

From Wikipedia, the free encyclopedia

Simoni wa Kurene
Remove ads

Simoni wa Kurene (kwa Kiebrania שמעון, Šimʿon au Šimʿôn) alikuwa Myahudi kutoka Kurene, Libya, aliyelazimishwa na askari kumsaidia Yesu kubeba msalaba hadi Kalivari, inavyoshuhudiwa na Injili Ndugu zote tatu.[1]

Thumb
Kituo cha tano cha Njia ya Msalaba, Kanisa kuu la Dubuque, Iowa, Marekani.

Kati ya Wainjili, Marko anamtambulisha kama baba wa Aleksanda na Rufo.

Tendo lake linakumbukwa katika kituo cha tano cha Njia ya Msalaba.[2]

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Desemba[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads