Simoni wa Kurene
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Simoni wa Kurene (kwa Kiebrania שמעון, Šimʿon au Šimʿôn) alikuwa Myahudi kutoka Kurene, Libya, aliyelazimishwa na askari kumsaidia Yesu kubeba msalaba hadi Kalivari, inavyoshuhudiwa na Injili Ndugu zote tatu.[1]
Kati ya Wainjili, Marko anamtambulisha kama baba wa Aleksanda na Rufo.
Tendo lake linakumbukwa katika kituo cha tano cha Njia ya Msalaba.[2]
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads