Saba Mgoti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Saba Mgoti
Remove ads

Saba Mgoti (kwenye mto Buzau[1] , leo nchini Romania 334 hivi[2] - Targoviste, Romania, 12 Aprili 372) alikuwa Mkristo wa kabila la Wagoti. Kwa hiyo aliteswa vikali na mfalme wake, Atanariki[3], kwa ajili ya imani, iliyomfanya akatae kula nyama iliyotolewa sadaka kwa miungu, na hatimaye alitoswa mtoni[4][5].

Thumb
Kifodini cha Mt. Saba.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Aprili[6].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads