Sagari
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sagari (alifariki Laodikea, Frigia, leo nchini Uturuki, 175 hivi) alikuwa askofu wa mji huo[1] aliyeuawa na serikali ya Dola la Roma, chini ya kaisari Marcus Aurelius na gavana wa Asia Ndogo Servilius Paulus, kwa sababu ya imani yake ya Kikristo[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads