Samba Mapangala
mwanamuziki wa Kenya From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Samba Mapangala (alizaliwa Matadi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo) ni mwanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Remove ads
Miaka ya awali aliitumia akiwa na bendi mbalimbali jijini Kinshasa, kabla ya kuhamia nchini Uganda mnamo mwaka wa 1975 ambapo yeye na wanamuziki wengine wa Kikongo waliunda bendi ya Les Kinois. Walihamia jijini Nairobi mnamo 1977. Hapa wanaanzisha bendi mpya iliyoitwa Orchestra Virunga, hiyo ilikuwa mwaka 1981. Jina la bendi ni tokeo la milima ya volkeno uliopo huko nchini Kongo maarufu kama Milima ya Virunga. Orchestra Virunga walitoa albamu yao ya kwanza, It's Disco Time wakiwa na Samba Mapangala mnamo 1982. Mwanzoni mwa miaka ya 1990, kundi likaanza kupata sifa yake ya kimataifa baada ya kutoa albamu zao ya "Virunga Volcano" na "Feet on Fire". [1] Mwaka wa kwenye ugawaji wa Tuzo za Kilimanjaro albamu yake Ujumbe ilichaguliwa katika kipengele cha albamu bora ya Afrika Mashariki.[2] Kwa sasa Samba anaishi nchini Marekani.
Remove ads
Diskografia
- Albumu[3]
- It's Disco Time with Samba Mapangala (1982)
- Evasion (1983)
- Safari 1988 (Kenyan cassette)
- Vunja Mifupa (1989) 1989 (CBS Kenya IVA 071, cassette)
- Paris-Nairobi 1990 (European cassette)
- Virunga Volcano 1990 (Earthworks, CD)
- Feet On Fire 1991 (Stern's Africa STCD 1036, CD)
- Karibu Kenya 1996 (Sun Music, CD)
- Vunja Mifupa 1997 (Lusam 01, CD)
- Ujumbe 2001 (Stern's / Earthworks STEW43CD)
- Vunja Mifupa Virunga Roots Volume 1 2004 (Samba Mapangala)
- Song and Dance (2006) (Virunga Records)
- African Classics (2008) (Sheer Sound)
Remove ads
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads