Samsoni wa Dol

From Wikipedia, the free encyclopedia

Samsoni wa Dol
Remove ads

Samsoni wa Dol (Wales Kusini, 485 hivi - Dol-de-Bretagne, Neustria, leo nchini Ufaransa, 565 hivi) alikuwa mmonaki nchini kwake, halafu askofu mmisionari wa Dol huko Bretagne alipoeneza Injili pamoja na nidhamu ya kimonaki aliyojifunza kwa abati Iltud huko kwao [1][2].

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Samson.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Julai[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads