Sangari

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Sangari (Digitaria abyssinica) au kidiru ni spishi ya nyasi katika nusufamilia Panicoideae iliyo na mnasaba na mfonio (D. Exilis na D. Iburua). Inafanana pia na lugowi (Cynodon sp.) lakini masuke yake ni membamba zaidi. Asili ya spishi hii ni Afrika ya Mashariki na ya Kati lakini imewasilishwa katika Afrika ya Kusini, Afrika ya Magharibi na Asia. Nyasi hili ni gugu baya katika mashamba.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads