Saserdosi wa Lyon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Saserdosi wa Lyon (pia: Sardot au Serdot; 487 - 552[1]) alikuwa askofu mkuu wa mji huo, leo nchini Ufaransa [2][3] kuanzia mwaka 544 hadi kifo chake[4][5].

Alikuwa mtoto wa askofu Rustiko wa Lyon ambaye anaheshimiwa kama mtakatifu. Mwenyewe naye, kabla ya kupata uaskofu, aliwahi kuoa na kuzaa mtoto mmoja, Aureliano wa Arles, ambaye pia anaheshimika hivyo [6].
Aliishi daima katika upendo na uchaji wa Mungu akafariki Paris alipokwenda ili kushiriki mtaguso[7].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Septemba[8].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads