Seleukia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Seleukiamap
Remove ads

36°07′26″N 35°55′19″E Seleukia (pia: Suedia; Seleukia Baharini; kwa Kigiriki: Σελεύκεια ἐν Πιερίᾳ) ulikuwa mji wenye bandari ya Antiokia, karibu na kijiji cha leo cha Çevlik[1], wilaya ya Hatay kusini-mashariki mwa Uturuki.

Thumb
Sehemu ya handaki la Titus.
Thumb
Sanduku la marumaru lililopatikana Seleukia.

Seleukia Pieria ulianzishwa mwaka 330 KK hivi na Seleuko I Nikatori, mmoja kati ya waandamizi wa Aleksanda Mkuu.[2] Ndiyo asili ya jina[2].

Mtume Paulo na Barnaba walianza huko safari zao za kimisionari mwaka 45 hivi (Mdo 13:4). Baadaye Paulo alihitaji kupita huko mara mbili tena.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads