Serafi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Serafi
Remove ads

Serafi (kwa Kiebrania: שָׂרָף, sārāf, yaani "Mwenye kuwaka"[1][2]) ni kiumbehai cha mbinguni katika dini za Uyahudi, Ukristo na Uislamu. Ingawa asili ya imani hiyo ni katika nchi ya Misri[3], Waisraeli waliipokea na kuiingiza katika ile maalumu ya kwao iliyokiri Mwenyezi Mungu kuwa mmoja tu. Aliyechangia zaidi mchakato huo ni kuhani Isaya ambaye alisimulia wito wake kama nabii kwa kueleza alivyowaona na kuwasikia maserafi wakimuimbia YHWH "Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu" (Isa 6:1-7)[4][5]. Baada yake serafi alitazamwa kama aina ya malaika.

Thumb
Fransisko wa Asizi akitokewa na serafi (mchoro wa ukutani inayodhaniwa kuwa kazi ya Giotto) (12671337).
Thumb
Serafi akishika kaa la moto, Jerusalem International YMCA.
Remove ads

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads