Serafi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Serafi (kwa Kiebrania: שָׂרָף, sārāf, yaani "Mwenye kuwaka"[1][2]) ni kiumbehai cha mbinguni katika dini za Uyahudi, Ukristo na Uislamu. Ingawa asili ya imani hiyo ni katika nchi ya Misri[3], Waisraeli waliipokea na kuiingiza katika ile maalumu ya kwao iliyokiri Mwenyezi Mungu kuwa mmoja tu. Aliyechangia zaidi mchakato huo ni kuhani Isaya ambaye alisimulia wito wake kama nabii kwa kueleza alivyowaona na kuwasikia maserafi wakimuimbia YHWH "Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu" (Isa 6:1-7)[4][5]. Baada yake serafi alitazamwa kama aina ya malaika.


Remove ads
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
