Servulo wa Trieste

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Servulo wa Trieste (alifariki Trieste, Italia) alikuwa Mkristo aliyeuawa kwa ajili ya imani yake wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Mei[2]

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads