Setei
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Setei (kwa Kiitalia: Cetteo; karne ya 6 - 597 hivi) anatajwa kama askofu wa Amiterno, leo San Vittorino, au wa Aternum, leo Pescara, yote miwili katika mkoa wa Abruzzo, Italia,[1], ambaye Walombardi walipovamia maeneo yale aliuawa kwa kutoswa mtoni amefungiwa jiwe kubwa shingoni kwa kusingiziwa kwamba alisaliti mji wake [2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads