Sigirani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sigirani (pia: Sigiran(d), Sigiramne, Sigirannus, Siran au Cyran; alifariki 655 hivi) alikuwa kabaila wa Ufaransa ambaye kwanza alifanya kazi ikulu, halafu akawa padri, shemasi mkuu, mhubiri asiye na makao, na hatimaye abati mwanzilishi wa monasteri mbili [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads