Sigolena
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sigolena (kwa Kifaransa: Sigolène, Ségolène, Sigouleine, Segouleine; alifariki 769) alikuwa mwanamke wa Ufaransa ambaye, baada ya kuolewa na kubaki mjane akiwa na umri wa miaka 22, alijitoa kuhudumia maskini na kusali.

Hatimaye alianzisha monasteri huko Troclar ambayo akawa abesi wake wa kwanza[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads