Selina

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Selina (kwa Kifaransa: Celine, Cilinie; alifariki Laon, Ufaransa, 464 hivi) ni maarufu kwa sababu alikuwa mama wa maaskofu Prinsipi wa Soissons na hasa Remigius wa Reims[1], aliyechangia wongofu na ubatizo wa mfalme wa Wafaranki Klovis I na wa taifa zima.

Thumb
Mt. Silinia katika dirisha la kioo cha rangi la seminari ya zamani huko Reims.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 21 Oktoba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads