Simeoni wa Mantova

From Wikipedia, the free encyclopedia

Simeoni wa Mantova
Remove ads

Simeoni wa Mantova (Armenia ya Kale, karne ya 10 - Polirone, Mantova, Italia, 26 Julai 1016) alikuwa mmonaki na mkaapweke wa Armenia ya Kale ambaye alihiji patakatifu pengi huko Mashariki ya Kati akahamia Ulaya.

Thumb
Monasteri ya Polirone alipofariki.

Uzeeni aliishi katika monasteri ya Wabenedikto [1].

Alitangazwa na Papa Benedikto VIII kuwa mwenye heri mwaka 1024[2], halafu Papa Leo IX alimtambua kama mtakatifu mwaka 1049.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Julai[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads