Simplisi wa Sardinia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Simplisi wa Sardinia
Remove ads

Simplisi wa Sardinia alikuwa padri katika kisiwa cha Sardinia, leo nchini Italia[1].

Thumb
Altare yenye masalia yake.
Thumb
Basilika-kanisa kuu la Olbia lililojengwa kwa heshima yake.

Pengine anatajwa kama askofu au pia kama mfiadini.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 15 Mei[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads