Simplisiani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Simplisiani wa Milano (Brivio, Lombardia, Italia, 320 hivi - Milano, 401) alikuwa Askofu wa mji huo tangu mwaka 397 hadi kifo chake.

Alichaguliwa na Ambrosi wa Milano kuwa mwandamizi wake. Augustino wa Hippo alimsifu pia[1][2]. Ni kwamba Simplisiani alipokuwa padri aliwasaidia wote wawili kujiandaa kwa ubatizo kama alivyofanya kwa mwanafalsafa Viktorino.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Agosti[3] ila Milano ni 14 Agosti.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads