Sinodi ya Whitby

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sinodi ya Whitby
Remove ads

Sinodi ya Whitby (664 BK) ilikuwa sinodi ya ufalme wa Northumbria ambapo Oswiu wa Northumbria aliamua kufuata desturi za Kanisa la Roma badala ya zile za Ukristo wa Kiselti zilizosambazwa awali kutoka Iona[1][2][3][4].

Thumb
Maghofu ya Abasia ya Whitby, sinodi ilipofanyika.

Sinodi hiyo ilifanyika kwenye monasteri pacha za Hilda wa Whitby huko Streonshalh (Streanæshalch), baadaye Whitby.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads