Sozonti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sozonti
Remove ads

Sozonti (alifariki Soli/Pompeiopoli, leo Mersin, Kilikia, nchini Uturuki, 300 hivi) alikuwa mvulana mchungaji wa mifugo aliyejiunga na Ukristo.

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Sozonti.

Baada ya kubomoa sanamu kadhaa za miungu alifia dini yake wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake ni tarehe 7 Septemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads