Stefano wa Perm

From Wikipedia, the free encyclopedia

Stefano wa Perm
Remove ads

Stefano wa Perm (kwa Kirusi Стефан Пермский; 26 Aprili 1340 - 26 Aprili 1396[1]) alikuwa mmonaki mchoraji aliyeleta Ukristo kwa Wakomi na kuwa askofu wa kwanza wa jimbo la Perm, akibomoa sanamu za miungu na kujenga makanisa, mbali na kubuni mwandiko wa Kiperm na kutumia lugha ya wenyeji katika kuthibitisha imani na kuadhimisha liturujia[2][3].

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Stefano njiani kuelekea Moscow.
Thumb
Alivyochora fumbo la Utatu.

Alitangazwa na Kanisa la Kiorthodoksi la Urusi kuwa mtakatifu tarehe 26 Aprili 1754. Anaheshimiwa hivyo na Kanisa Katoliki pia.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Aprili[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads