Steiermark

From Wikipedia, the free encyclopedia

Steiermark
Remove ads

Steiermark (kwa Kislovenia: Štajerska) ni moja ya majimbo 9 ya kujitawala ya Austria lenye wakazi milioni 1.211 kwenye eneo la km² 16.392 (2013).

Thumb
Sehemu ya Jimbo la Steiermark
Thumb
Mahali pa Steiermark katika Austria
Thumb
bendera ya Steiermark

Mji mkuu ni Graz. Waziri mkuu ni Franz Voves (SPÖ).

Jiografia

Steiermark imepakana na majimbo ya Austria ya Karinthia, Salzburg, Austria Juu, Austria Chini na Burgenland.

Miji mikubwa ni pamoja na Graz na Leoben.

Mur na Enns ndiyo mito muhimu zaidi.

Thumb

Picha za Steiermark

Tovuti za Nje

Ukweli wa haraka


Maelezo zaidi Majimbo ya Austria ...
Makala hii kuhusu maeneo ya Austria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Steiermark kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads