Sufi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sufi
Remove ads

Sufi (kar. صوف suf[1]) ni jina kwa nyuzi laini kama pamba zinazotoka kwenye matunda ya msufi (miti ya jenasi Bombax, Ceiba na Rhodognaphalon).

Kwa mwelekeo wa kidini tazama Sufii, Usufii
Thumb
Sufi katika tunda la msufi mweupe, Ceiba pentandra, kisiwani Unguja
Thumb
Msufi-pori (Rhodognaphalon schumannianum)

Sufi hutumiwa kwa kujaza magodoro, kama kalafati kuziba nyufa kati ya mbao za mashua n.k. Haifai kwa kutengeneza nyuzi ndefu na vitambaa.

Mara nyingi neno hili linatumiwa pia kwa kutaja sufu yaani manyoya ya kondoo.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads