Sulpisi Pius

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sulpisi Pius
Remove ads

Sulpisi Pius (alifariki Bourges, leo nchini Ufaransa, 17 Januari 647) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 624, baada ya kuishi ikulu. Alijali kuliko yote huduma kwa maskini na alikamilisha kazi ya kuinjilisha wakazi wa jimbo lake kwa kuwavuta Wayahudi na Wapagani wa mwisho katika Ukristo[1].

Thumb
Sanamu yenye masalia yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 17 Januari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads