Tema

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tema
Remove ads

Tema ni mji wa bandari na viwanda nchini Ghana karibu na mji mkuu wa Accra kwenye mwambao wa Bahari ya Atlantiki.

Thumb
Mahali pa Tema katika mkoa wa Accra, Ghana
Thumb
Bandari ya Tema

Katika sensa ya mwaka 2013 kulikuwa na wakazi 539,548[1]

Hadi mwaka 1961 Tema ilikuwa kijiji kidogo cha wavuvi. Tangu mwaka huo bandari kubwa ya Ghana ilijengwa Tema pamoja na viwanda vingi. Imekuwa kitovu cha viwanda nchini. Kuna mawasiliano kwa reli na barabara kuu kati ya Tema na Accra.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads