Teodari

From Wikipedia, the free encyclopedia

Teodari
Remove ads

Teodari (pia: Theuderius, Theuderis, Theudar, Theodore, Theudère, Cherf, Chef; alifariki karibu na Vienne, Ufaransa, 575 hivi) alikuwa mfuasi wa Sesari wa Arles ambaye alimpadrisha na kumweka kuwa mwombezi na muungamishi wa waumini wa jimbo lake [1]

Thumb
Mt. Teodari katika dirisha la kioo cha rangi.

Hata hivyo baadaye, akitamani kuwa mmonaki, alianzisha monasteri walau moja, na hatimaye alijifungia ndani kuishi kama mkaapweke.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Oktoba.[2]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads