Teodosi abati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Teodosi abati
Remove ads

Teodosi abati (Mogarissos, Kapadokia, leo nchini Uturuki, 423 hivi Yerusalemu, Israeli, 529), rafiki wa abati Saba, alikuwa mmonaki aliyeanzisha na kuratibu maisha ya kijumuia katika monasteri kadhaa huko Palestina. Kabla ya hapo aliiishi muda mrefu kama mkaapweke[1].

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Teodosi.
Thumb
Picha mbalimbali kuhusu maisha yake.

Pia alishika sana imani sahihi ilivyofundishwa na Mtaguso wa Kalsedonia na kwa ajili hiyo aliwahi kudhulumiwa sana na serikali ya Dola la Roma Mashariki.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 11 Januari.[2][3]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads