Teofilo wa Corte
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Teofilo wa Corte (Corte, Corsica, leo nchini Ufaransa, 30 Oktoba 1676 - Fucecchio, leo nchini Italia, 19 Mei 1740), mwanafunzi wa Thomas wa Cori, alikuwa padri wa shirika la Ndugu Wadogo na mhubiri maarufu.

Jina lake la awali lilikuwa Biagio Arrighi. Alijulikana kwa heshima yake kubwa kwa Mateso ya Yesu na kwa Bikira Maria.
Alijitahidi kueneza urekebisho shirikani kwa kuanzisha mahali pa upwekeni[1].
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu tangu tarehe 29 Juni 1930, alipotangazwa na Papa Pius XI.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads