Teresa Eustoki Verzeri

From Wikipedia, the free encyclopedia

Teresa Eustoki Verzeri
Remove ads

Teresa Eustoki Verzeri (Bergamo, Lombardia, 31 Julai 1801Brescia, 3 Machi 1852) alikuwa mwanamke wa Italia kaskazini ambaye, baada ya kuacha monasteri ya Wabenedikto, alianzisha shirika la Mabinti wa Moyo Mtakatifu wa Yesu kwa ajili ya kulea wasichana. Jina lake la awali lilikuwa Ignazia[1].

Thumb
Mt. Teresa Verzeri.

Alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XII tarehe 27 Oktoba 1946, halafu mtakatifu na Papa Yohane Paulo II tarehe 10 Juni 2001[2].

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads