Theodoro Trikinas
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Theodoro Trikinas alikuwa mmonaki kutoka Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, katika karne ya 5.
Aliishi kiadilifu upwekeni katika monasteri ya Kalsedonia akijulikana kwa kuvaa kanzu moja tu za singa ndefu (ndiyo asili ya jina lake la pili) na kwa miujiza yake.[1][2]
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads