Theodoro Trikinas

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Theodoro Trikinas alikuwa mmonaki kutoka Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, katika karne ya 5.

Aliishi kiadilifu upwekeni katika monasteri ya Kalsedonia akijulikana kwa kuvaa kanzu moja tu za singa ndefu (ndiyo asili ya jina lake la pili) na kwa miujiza yake.[1][2]

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Aprili[3][4].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads