Toskana

From Wikipedia, the free encyclopedia

Toskana
Remove ads

Kwa mkoa wa Italia ya Kati, tazama Toscana.

Thumb
Mt. Toskana alivyochorwa pamoja na Mt. Magdalena na Mt. Katerina.

Toskana (jina kamili la Kiitalia: Toscana de' Crescenti; Zevio, Italia, 1280 hivi - Verona, Italia, 14 Julai 1343/1344) alikuwa mwanamke Mkristo wa ukoo maarufu ambaye, kisha kufiwa mumewe (1318), aliwagawia fukara mali yake yote akajitosa kuhudumia wagonjwa katika familia ya kiroho ya Utawa wa Mt. Yohane[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake [2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads