Troa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Troa
Remove ads

Troa (kwa Kigiriki: Τρωάδα, Troáda; awali: Τρῳάς, Trōiás au Τρωϊάς, Trōïás; kwa Kituruki: Biga Yarımadası) ni jina la zamani la rasi ya Uturuki, kaskazini magharibi mwa rasi ya Anatolia.

Thumb
Ramani ya Troa.

Katika Biblia ya Kikristo

Mtume Paulo (akiwa na Sila) alifikia eneo hilo katika safari yake ya pili ya kimisionari, kutoka Galatia kwenda Makedonia.[1] Inawezekana huko Luka alianza kuongozana naye pia [2].

Ni huko Troa kwamba Paulo, wakati wa ibada ya Jumapili, alimfufua Eutiko kadiri ya Mdo 20:7-12[3].

Baadaye Paulo alitaja Troa alipomuandikia Timotheo amletee joho aliloliacha huko[4].

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads