Uhamisho mkuu wa Ulaya

From Wikipedia, the free encyclopedia

Uhamisho mkuu wa Ulaya
Remove ads

Uhamisho mkuu wa Ulaya ni kipindi cha historia ya bara hilo kuanzia mwaka 300 hivi hadi 600 hivi BK[1][2].

Thumb
Ramani ya uhamisho.

Katikati yake, Dola la Roma Magharibi lilikoma (476) na falme mbalimbali, hasa za Kijerumaniki, zilikuja kutawala maeneo yake[3], pengine hata kwa msaada wa Dola la Roma Mashariki lililoendelea hadi mwaka 1453.

Wakazi wa Dola la Roma lote walikuwa milioni 40 hivi, kati yao wahamiaji wengi[4] labda 750,000. Lakini hayo makundi ya watu 10,000 au 20,000 kila moja yalivamia dola hilo na kulisambaratisha [5].

Matokeo yake yalikuwa mengi, makubwa, na ya kudumu.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads