Verena wa Zurzach

From Wikipedia, the free encyclopedia

Verena wa Zurzach
Remove ads

Verena wa Zurzach (Garagos, karibu na Thebe, leo Luxor, Misri, 260 hivi – Bad Zurzach, Uswisi, 14 Septemba 344) alikuwa msichana aliyelelewa Kikristo na familia yake na hatimaye alibatizwa.

Thumb
Thumb
Huruma ya Mt. Verena, Stuttgart (?), 1524.

Alifuatana na ndugu yake askari wa Kikosi cha Thebe hadi Uswisi alipoishi kwanza kama mkaapweke halafu akawa anasaidia wengi[1][2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu[4].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Septemba[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads