Verena wa Zurzach
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Verena wa Zurzach (Garagos, karibu na Thebe, leo Luxor, Misri, 260 hivi – Bad Zurzach, Uswisi, 14 Septemba 344) alikuwa msichana aliyelelewa Kikristo na familia yake na hatimaye alibatizwa.


Alifuatana na ndugu yake askari wa Kikosi cha Thebe hadi Uswisi alipoishi kwanza kama mkaapweke halafu akawa anasaidia wengi[1][2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu[4].
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Septemba[5].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads