Vigori
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Vigori (kwa Kilatini: Vigor; Artois, Ufaransa, karne ya 5 - 537 hivi) alikuwa askofu wa Bayeux (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 513 au 514[1] akiingiza Wapagani wengi katika Kanisa Katoliki kama alivyofanya mlezi wake, Vedasto wa Arras[2] [3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads