Viktorini wa Amiterno
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Viktorini wa Amiterno (Amiterno, karne ya 3 hivi - Cittaducale, karne ya 4 hivi) anatajwa kama askofu wa kwanza wa Amiterno (leo katika mkoa wa Abruzzo, Italia) lakini jambo la hakika ni kwamba aliuawa kwa imani yake ya Kikristo[1].

Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads