Vincent Ferrer

From Wikipedia, the free encyclopedia

Vincent Ferrer
Remove ads

Vincent Ferrer (Valencia, Hispania, takriban 1350Nantes, Ufaransa, 5 Aprili 1419) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki na mtawa wa Shirika la Wahubiri.

Thumb
Mt. Vincent Ferrer.

Alisafiri sana kati ya miji ya Ulaya Magharibi, akishughulikia amani na umoja wa Kanisa akisaidia kumaliza Farakano la magharibi.

Aliwahubiria watu wengi sana Injili ya toba na ujio wa pili wa Yesu hadi mwisho wa maisha yake [1].

Mwaka 1455 alitangazwa na Papa Callixtus III kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads