Vulmari

From Wikipedia, the free encyclopedia

Vulmari
Remove ads

Vulmari (pia: Ulmar, Vilmer, Vulmaire, Vulmar, Vulmarus, Wulmar; Boulogne, leo nchini Ufaransa, karne ya 7 - 689 hivi) alikuwa mchungaji duni na mtu wa ndoa ambaye, baada ya kunyang'anywa mke wake, akawa padri akaenda kuishi upwekeni. Hatimaye alianzisha monasteri mbili, moja kwa wanaume, nyingine kwa wanawake, katika misitu ya nchi yake [1].

Thumb
Mt. Vulmari.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 20 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Marejeo mengine

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads