Waacholi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Waacholi (pia Waacoli) ni kabila la Kijaluo la Sudan Kusini na hasa Uganda Kaskazini (Acholiland, iliyogawanyika katika wilaya ya Agago, wilaya ya Amuru, wilaya ya Gulu, wilaya ya Kitgum, wilaya ya Lamwo, wilaya ya Nwoya,wilaya ya Omoro na wilaya ya Pader).

Kama Wajaluo wote ni kabila la Waniloti ambalo lilisafiri kutoka Afrika ya Kaskazini kufuata mto Nile kwenda Kusini.
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Marejeo mengine
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads