Waaramu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Waaramu
Remove ads

Waaramu (ܐܪ̈ܡܝܐ, ʼaramáyé), ni watu wa jamii ya Wasemiti wa kaskazini[1] ambao wanatumia Kiaramu.

Thumb
Maeneo ya Israeli na kandokando mnamo 830 KK.
Thumb
Jiwe la kaburini lenye maandishi ya Kiaramu, karne ya 7 KK. Lilipatikana huko Neirab au Tell Afis (Syria).

Mwishoni mwa kipindi cha shaba (karne ya 11 hadi karne ya 8 KK) waliunda shirikisho la makabila kutoka Syria ya leo.

Bila kuungana kabisa, walianzisha falme kadhaa kote katika Mashariki ya Kati na kuteka sehemu kubwa ya Mesopotamia.

Katika karne nne za kwanza BK walipokea Ukristo kwa namna maalumu yaliyojitokeza hasa katika shemasi Efrem Mshamu.

Baada ya maeneo yao kutekwa na Waarabu Waislamu (karne ya 7) walizidiwa na kupotewa taratibu na lugha na desturi zao. Hata hivyo baadhi wapo hadi leo[2][3][4]

Remove ads

Tanbihi

Vyanzo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads