Wakiga

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wakiga
Remove ads

Wakiga (kwa lugha yao: Abakiga, yaani watu wa mlimani) ni kabila la Kibantu wanaoishi kusini mwa Uganda na kaskazini mwa Rwanda, nchi yao asili.

Thumb
Harusi kwa utamaduni wa Wakiga.

Lugha yao ni Kikiga (Rukiga), mojawapo kati ya lugha za Kibantu.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads