Wakonongo

kikundi cha lugha ya kikabila nchini Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wakonongo ni kabila la watu wa Tanzania wanaoishi katika Wilaya ya Mpanda, Mkoa wa Katavi. Mwaka 1987 walikadiriwa kuwa 51,000 [1].

Lugha yao ni Kikonongo.

Miaka ya 1880, pamoja na Wagongwe, waliwashambulia Wapimbwe baada ya kifo cha Mtemi Kasogera wa Wapimbwe.[2]

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads