Walango

From Wikipedia, the free encyclopedia

Walango
Remove ads

Walango ni kabila la Waniloti wanaoishi kaskazini mwa Uganda (Wilaya ya Amolatar, Wilaya ya Alebtong, Wilaya ya Apac, Wilaya ya Dokolo, Wilaya ya Kole, Wilaya ya Lira, Wilaya ya Oyam na Wilaya ya Otuke).

Thumb
Eneo la Walango nchini Uganda.
Thumb
Chifu wa Kilango mwaka 1902.

Wanakadiriwa kuwa 2,628,000 hivi.

Lugha ya wengi wao ni Kilango (Leb-Lango), mojawapo kati ya lugha za Kiniloti.

Tanbihi

Vyanzo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads