Wamaya
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wamaya ni kundi la makabila ya Waindio wa Amerika ya Kati, hasa rasi ya Yucatan. Kwa sasa wako milioni 7 hivi katika nchi za Meksiko, Guatemala, Belize, Honduras na El Salvador.

Ndio wajukuu wa watu waliostawisha ustaarabu wa Maya kuanzia mwaka 2000 KK hivi hadi uvamizi wa Wahispania (karne ya 16 na ya 17).
Tanbihi
Marejeo
Marejeo mengine
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads