Waorma
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Waorma ni kabila la watu (70,000 mwaka 2005) wa jamii ya Wakushi wanaoishi mashariki mwa Kenya, karibu na mwisho wa mto Tana.
Lugha yao ni Kiorma, lahaja ya Kioromo, mojawapo kati ya lugha za Kikushi.
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads