Watamu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Watamu
Remove ads

Watamu ni mji wa pwani ya Kenya. Ni kata ya kaunti ya Kilifi, eneo bunge la Kilifi Kaskazini[1].

Ukweli wa haraka Nchi, Kaunti ...

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 ulikuwa na wakazi 27,857[2].

Remove ads

Historia

Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya kusini ya Kenya kwenye Bahari ya Hindi.

Picha

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads