Waterik

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Waterik ni jina la kabila dogo la Waniloti ambalo huhesabiwa katika kabila kuu la Wakalenjin.

Wanakadiriwa kuwa 120,000[1] na kuishi hasa katika kaunti ya Kakamega na kaunti ya Nandi nchini Kenya.

Lugha

Wao huongea Kiterik, lahaja ya lugha ya Kikalenjin, mojawapo ya lugha za Kiniloti.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads