Wateso

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wateso
Remove ads

Wateso ni kabila kubwa la watu (4,000,000 hivi) wa jamii ya Waniloti wanaoishi mashariki mwa Uganda na magharibi mwa Kenya.

Thumb
Makazi ya Kiteso.

Lugha yao ni Kiteso, mojawapo kati ya lugha za Kiniloti.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads