Wayazidi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wayazidi ni kabila la watu wanaoishi hasa katika eneo la Kurdistan[1][2][3] na kwa namna ya pekee katika sehemu yake nchini Iraq[4][5], lakini wengine wengi wamekimbilia Ujerumani[6][7] na nchi nyingine.

Wanakadiriwa kuwa milioni moja au moja unusu.
Wanafuata dini yao maalumu ambayo inamuabudu Mungu mmoja tu. Kwa ajili yake wamedhulumiwa sana na Waislamu waliotawala eneo lao, kwanza Waarabu, halafu Waturuki.
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads