Willem Barents
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Willem Barents (au Barentsz, labda kutoka Barentzoon, mwana wa Barent; Terschelling, mnamo mwaka 1550 - 20 Juni 1597) alikuwa baharia na mpelelezi kutoka nchini Uholanzi.

Barents anakumbukwa kama mgunduzi wa visiwa vya Spitsbergern (Svalbard). Alilenga kukuta njia ya kufika katika Bahari Pasifiki kupitia bahari ya Aktiki.
Bahari ya Barents [1] na mji wa Barentsburg vilipokea jina lake.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads